Alhamisi, 5 Novemba 2015

Karim Benzema afikishwa 

mahakamani kisa mkanda 

wa ngono, hizi ni picha zake 

akiwa mahakamani…

Mshambuliaji wa kimataifa wa Ufaransa anayekipiga katika klabu 
ya Real Madrid yaHispania Karim Benzema amezidi kuingia katika headlines
 baada ya zile stori za kuvuja kwa kanda ya ngono kuendelea kuchukua nafasi, 
Jumatano ya November 4 Benzemaaliripotiwa kukamatwa kwa kosa hilo ila leo
 November 5 amefikishwa mahakamani.
Karim-Benzema-leave-the-court-house-in-Versailles
Staa huyo wa Real Madrid aliyekuwa akihusishwa kuhamia katika klabu ya Arsenal yaUingereza katika dirisha la usajili lililofungwa mwezi August 2015 ameingia katika kashfa hiyo pamoja na rafiki yake wa utotoni ambaye anacheza naye katika timu ya taifa yaUfaransa Mathieu Valbuena.
Karim-Benzema-C-wearing-a-white-hooded-jersey-arrives-at-the-police-station-in-Versailles
Karim Benzema akiwasili kituo cha polisi November 4
Mshambuliaji huyo inatajwa katozwa faini sambamba na kufungiwa
 kuonana na mchezaji mwenzake wa ufaransa, hata hivyo ripoti ya 
kichunguzi kutoka Ufaransa zinasema kosa alilolifanya Benzema lingeweza
 kumfanya afungwe jela miaka mitano ila taarifa kutoka kwa
 mwanasheria wa staa huyo Sylvain Cormier ameviambia vyombo vya habari
 kuwa mteja wake hana hatia.
A-picture-taken-on-November-5-2015-shows-a-car-in-a-caravan-of-police-vehicles-allegedly-transporting-Real-Madrids
Benzema akiwasili mahakamanai leo November 5
Benzema aliyekuwa anasumbuliwa na majeruhi na Mathieu Valbuena waliachwa 
katika kikosi cha timu ya taifa ya Ufaransa mapema mwezi huu. Benzema 
kwa sasa anatoka na Analicia Chaves ambaye alikuwa 
mpenzi wa staa wa soka wa Ubelgiji  Axel Witsellakini aliwahi kuhusishwa 
kutoka na msanii wa pop kutoka Marekani Rihanna.
Karim-Benzema-leave-the-court-house-in-Versailles (1)
Mathieu-Valbuena-Karim-Benzema
Mathieu Valbuena na Karim Benzema

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni