Alhamisi, 5 Novemba 2015

Maneno ya Rais mstaafu 

Jakaya Mrisho kikwete

 kuhusu kumaliza kulitumikia 

taifa……

Ikiwa leo Novemba 5, 2015 ndio Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amemaliza 
muda wake wa kuongoza Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,huku
 Dk.John Pombe  Magufuli akiapishwa kama rais wa awamo wa 5 wa 
kuliongoza taifa hili.
Sasa kupitia kwenye akaunti ya twitter ya Jakaya Mrisho Kikwete
 ameyaandika haya maneno kuhusu kulitumika taifa la Tanzania kwa miaka 10..
Miaka 10 imekwisha. Imekuwa safari nzuri na yenye mafanikio 
makubwa kwa nchi yetu. Taifa letu litabaki salama. Nawatakia kila la kheri’ – Kikwete

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni