Ijumaa, 20 Novemba 2015

SIASA

Dakika tatu za Waziri Mkuu 

Majaliwa kwenye jukwaa la 

kiapo Dodoma mbele ya

 Rais Magufuli… (+Video)

Ile list ya uongozi utakaoendesha Serikali ya awamu ya tano Tanzania inayoongozwa na Rais Dk. Magufuli inaendelea kukamilika ambapo jana November 19 2015 jina la Waziri Mkuu mteule liliingia ndani ya Bunge Dodoma likiwa ndani ya bahasha tatu kutoka Ikulu.
VIDEO0044_0000004063
Aliyeteuliwa na kuthibitishwa kuwa Waziri Mkuu kwa Kura za Wabunge ni Mbunge wa RuangwaMajaliwa Kassim Majaliwa… leo amekula kiapo na tayari ameingia kwenye historia ya kuwa Waziri Mkuu wa 11 Tanzania… video yake hii hapa kutoka SIMU. Tv.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni