Barnaba katuletea mrembo
wingine Bongo Flevani…
anaitwa Kleyah (Msobe Msobe
Feat. Barnaba) #Audio
B
Staa wa Bongo Fleva, Barnaba ni mmoja ya mastaa wachache ambao ni waandishi wazuri wa nyimbo na ameandika ngoma nyingi sana ambazo zimeimbwa na mastaa wengine kama akina Vee Money, Shilole, na wengine wengi.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni