Jumanne, 10 Novemba 2015

ENTERTAINMENT

Barnaba haamini kwenye

 ushirikina.. ulinzi wake 

mkubwa unatoka juu. 

Ushirikina ni jambo ambalo limekuwa likihusishwa au kuchukua headlines kwa kiasi chake katika tasnia mbalimbali ambapo mwimbaji Barnaba wa Bongo fleva alikutana na ripota wa millardayo.com na kueleza jinsi alivyojengeka kiimani na katika kumwabudu Mungu.
B-Boy anasema >>> ‘Mimi ni mtu ambaye naishi kwa Mungu, namwamini Mungu..! hata ukiangalia studio yangu Biblia imetawala na misalaba sababu namwamini Mungu, siamini kwenye ushirikina hata kidogo, wanaoamini ushirikina waache waendelee kuamini ila mimi naamini dua na kutembea na Mungu ni ushirikina tosha, huna hata ya ushirikina mwingine

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni