Alhamisi, 5 Novemba 2015

Hii ndio list ya mastaa 

waliokuwa verified kwenye

 twitter kaongezeka huyu…..



Mshindi wa Big Brother Africa 2014 Idris Sultan anaziandika headlines kwenye kurasa za burudani… baada ya kuiwakilisha #255 vizuri kwenye shindano hilo kubwa la Africa,mafanikio mengi yamekuwa yakimfuata nyuma Idris Sultan.
Sasa leo Novemba 5, 2015 hatimaye mtandao wa twitter umempa umiliki halali wa akaunti yake ya twitter kwa kuwa verified.
.
.
Idris Sultan anaungana na mastar kadhaa wenye  verified kwenye akaunt zao ambao ni pamoja na Rais Jakaya Kikwete,Ambwene Yesaya aka ‘Ay’,Flavian Matata, Diamond Platnumz.January Makamba, Lady Jay Dee, Vanessa Mdee, Edward Lowassa na wengineo.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
millardayo Nov5, 2o15
.
diamondddddddddddddddd
.
.
.
.
.
ali kibaaaaaaaaa
.
WEWEEE

IDRI

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni