Jumanne, 8 Desemba 2015

ENTERTAINMENT

Kwa wale mashabiki wa JB 

na Wema Sepetu…..hii ndio 

movie mpya itakayokuwa 

sokoni

Muigizaji, mtayarishaji na muongozaji wa filamu, Jacob Stephen aka JB anatarajia kuachia filamu mpya wiki ijayo iitwayo Chungu cha tatu
Filamu hiyo iliyotayarishwa chini ya kampuni ya Jerusalem Film imeigizwa na wasanii mahiri akiwemo JB, Pancho Mwamba, Wema Sepetu, Almas Said na wengineo
Kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram aliwahabarisha mashabiki na kuandika hivi..’Wadau na wapenzi wa filam zetu napenda kuwatangazia kuwa filamu yenu ya chungu cha tatu itakuwa sokoni tarehe 14-12-2015 ..jumatatu ijayo..endeleeni kuangalia filamu za Jerusalem …..sitawaangusha’- JB

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni