Jumatatu, 14 Desemba 2015

ENTERTAINMENT

Ni MB Dog tena kwenye 

kionjo cha video yake mpya……..

Soko kubwa la wasanii wa Tanzania kwa sasa wanajitahidi sana kuwekeza upande wa video na kiukweli mabadiliko yanaonekana kabisa namna ambavyo wasanii wetu wanavyotumia gharama kwenye muziki huu ambao kwa sasa umekua ajira.
Sasa time hii MB Dog ameshea na sisi kipande kidogo cha sekunde kadhaa kutuonyesha kitakachoonekana kwenye video ya wimbo wake wa  Sio Siri.
Kwa mujibu wa msanii huyo kwamba video hiyo mpya inatarajia kutoka kati ya siku hizi mbili.
A video posted by Mb DoG mastEr (@mbdog_master) on 

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni